Wasanii 2 Muziki wa Kizazi kipya toka Tanzania ,Lawrence Malima aka Marlaw na Besta Rugeiyamu aka Besta,siku ya jana Jumamosi ya tarehe 11 March 2011 walifanukiwa kufunga ndoa ama twaweza kusema kufunga pingu za maisha aka kuoana.
Marlaw na Besta walikua na uhusiano kwa muda mrefu na kwa sasa mambo yako hadharani, maana Alhamisi iliyopita kulikua na Kitchen Party ya Besta na Jumamosi pia wiki iliyopita kulikua na Send Off ya Besta ambapo aliagwa rasmi na familia yake. NDOA NJEMA....KILA LA KHERI!
Marlaw na Besta walikua na uhusiano kwa muda mrefu na kwa sasa mambo yako hadharani, maana Alhamisi iliyopita kulikua na Kitchen Party ya Besta na Jumamosi pia wiki iliyopita kulikua na Send Off ya Besta ambapo aliagwa rasmi na familia yake. NDOA NJEMA....KILA LA KHERI!