Google PlusRSS FeedEmail

DJ CAVY @ MAFIAN FISH LOUNGE...

[Read More]





3.1 Mb
4.4 Mb
3.7 Mb
4.0 Mb
3.2 Mb
4.6 Mb
3.3 Mb
4.0 Mb
3.1 Mb
4.7 Mb
3.5 Mb
3.6 Mb
3.6 Mb
3.9 Mb
3.2 Mb
4.3 Mb
3.2 Mb
3.5 Mb
3.1 Mb
3.5 Mb
3.4 Mb
4.6 Mb
3.6 Mb
3.5 Mb
3.1 Mb
4.7 Mb
4.3 Mb
3.1 Mb
3.0 Mb
3.0 Mb
2.6 Mb
3.4 Mb
2.7 Mb
4.0 Mb
3.5 Mb
3.7 Mb
4.2 Mb
3.4 Mb
4.2 Mb
3.1 Mb

US TOP 40 [OCTOBER]

[01] - Maroon 5 Feat. Christina Aguilera - Moves Like Jagger.mp3 3.1 Mb [02] - Adele - Someone Like You.mp3 ... [Read More]

DJ Triple Exe -The Passion of R&B 39

DOWNLOAD [Read More]

Mcheza filamu za kibabe Arnold Schwarznegger ameamua kutengeneza sanamu zinazoonyesha alivyokuwa mtu mwenye misuli enzi zake za uigizaji huo
Katika kufanya hivyo mbabe huyo ambaye aliwahi kuwa Gavana wa Jimbo la California,anataka kuudhirishia ulimwengu kuwa alikuwa shujaa na anastahili heshima
Schwarzegger 64 a meagiza kutengenezwa sanamu tatu za madini ya fedha zenye urefu wa futi nane kila moja.sanamu hizo zinaonyesha alivyokuwa mtu alijengeka vyema kimwili

Arnold Schwarzenegger commissions statues of himself

ARNOLD SCHWARZNEGGER ATENGENEZA SANAMU ILI KUONYESHA JINSI MWILI WAKE ULIVYOJENGEKA.

Mcheza filamu za kibabe Arnold Schwarznegger ameamua kutengeneza sanamu zinazoonyesha alivyokuwa mtu mwenye misuli enzi zake za uigizaji huo... [Read More]

Mwanamama Lady Gaga juzi alitumbuiza kukumbuka kijana mwenye umri wa miaka 14,aliyejiua kutokana na kushambuliwa kwa sababu ya vitendo vyake vya ushoga..
Gaga aliimba wimbo wa Hair kumkumbuka kijana huyo huyo Jamey Rodemeyer,ambaye alizikwa huko New York
"Kwa mujibu wa Tmz Gaga alisikika akisema , Niliamua kutumia fursa hii kwa sababu tumepoteza kijana tegemeo katika mwezi huu..alisema Lady Gaga juzi usiku mjini Las Vegas."
Kijana huyo aliamua kukatisha maisha yake baada ya wanafunzi wenzake kumdhihaki kuwa ni shoga,inasadikika mazishi ya kijana huyo yalihudhuriwa na watu zaidi ya 500

LADY GAGA AMKUMBUKA KIJANA SHOGA

Mwanamama Lady Gaga juzi alitumbuiza kukumbuka kijana mwenye umri wa miaka 14,aliyejiua kutokana na kushambuliwa kwa sababu ya vitendo vyake... [Read More]

JAMANI MZEE MAGALI

Uenda ndiyo ukuaji tasnia ya filamu Tanzania pale unapotaka kuongea na msanii anayeigiza katika filamu Tanzania baada ya kujitambulisha anak... [Read More]

BANG MBAYA WITH DJ WAXXY THIS FRIDAY 30/09/2011

[Read More]

Music Legend Sly Stone Homeless And Living In A Van

   Mwanamuziki gwiji wa Soul , Sylvester Sterwar aka Sly Stone ,ambaye alishawahi kutamba  miaka ya 1960 hadi 1970 anaishi ndani ya gari na... [Read More]

LOVENESS KUACHIA FILAMU

        Msanii hadi sasa ameshiriki filamu nyingi kama vile Blood in the City, Sheria mkononi, Penzi la utata, The Game, Uzio wa kuzimu, Kaf... [Read More]

                  
Rapper
Jim Jones is being sued by producer Christopher R. Liggio (Jay-Z, Mary J. Blige, Ludacris) for allegedly sampling Liggio's copyrighted song without permission. Implicit music companies Entertainment One, Sally Ruth Esther Inc., Universal Music Publishing, Songs of Universal Inc. and Pookitoots LLC are also named in the lawsuit.
In a suit filed in New York's federal court this week, Liggion claims that Jim Jones and Ashanti's original vocals are layered over his music on the hard-driven break-up track 'Changing the Locks.'

JIM JONES SUED FOR TRACK WITH ASHANTI

                   Rapper Jim Jones is being sued by producer Christopher R. Liggio ( Jay-Z , Mary J. Blige , Ludacris ) for allegedly sa... [Read More]

BEYONCE KUANZISHA LEBO YAKE ILI KUSAIDIA MAUZO YA MANUKATO YAKE MAPYA

               Katika mahojiano ya hivi karibuni na shirika la habari la Associated Press Mwanamuziki  Amabaye pia ni mama mtarajiwa,anatar... [Read More]

The Best of Snoop Dogg

DOWNLOAD [Read More]

G-NAKO AKA ALOLOO KUACHIA KITU KIPYA SOON

    Junior Nako a.k.a. street dogs,hiphop mc's toka kaloleni Arusha a.k.a ololoo round hii wanadrop na ngoma mpya ya "levo za abuja... [Read More]

BLANDINA CHEGULA KURUDI KWA NGUVU ZOTE KATIKA GAME

      Muigizaji Nyota aliyevuma na bado nyota yake ikiwa bado ipo juu Blandina Chagula anarudi katika fani ya uigizaji baada ya kulichungul... [Read More]

While Lil Wayne recently had his sights set on 'A Milli,' Diddy has higher goals.
Forbes Magazine has predicted that the hip-hop mogul will be the first rap icon to enter its illustrious Forbes 400 list of America's richest citizens, beating out Jay-Z and 50 Cent.
The "notorious name-changer" as Forbes has dubbed him, is currently estimated at having a worth of $550 million, but is poised to reach a billi shortly, due to his healthy stake in Ciroc vodka, which is valued at close to $1 billion. His ownership stake in fashion lines Sean John and Enyce, his marketing company Blue Flame, and, of course, Bad Boy Records also had to his stock.

FORBES PICKS DIDDY FOR FIRST RAP BILLIONAIRE, BABY DISAGREES

While Lil Wayne recently had his sights set on ' A Milli ,' Diddy has higher goals. Forbes Magazine has predicted that the hip-ho... [Read More]

MERY J BLIGE KUACHIA ALBAMU MPYA MWEZI NOVEMBER

Kwa mujibu wa Jarida la Rolling Stone la Nchini Marekani,limeweka bayana kuwa msanii Mary J Blige anatarajiwa kuzindua albamu yake mpya mwe... [Read More]

LIVE NATION NA UNIVERSAL STUDIO WAWAUNGANISHA JAY-Z NA RIHANNA..

  Kampuni inayojishugulisha na kazi mbali mbali za wasanii nchini Marekani Live Nation ambayo inamikataba na wasanii kama  Jay-Z,Madonna,U2... [Read More]

CHRISTINA MILAN AZUNGUMZIA MAISHA YA MAPENZI KATI YAKE NA THE DREAMS

     Wakati ndio kwanza ametimiza miaka 30 tangu kuzaliwa kwake,ameweka bayana kuhusiana na mapenzi kati yake na aliyekuwa mume wake ambaye... [Read More]

     
A New Jersey judge has sided with
50 Cent and dismissed a lawsuit pertaining to 'Before I Self Destruct,' a feature film packed with the the rapper's 2009 album of the same name.
The rapper born Curtis Jackson III had been accused by author Shadrach Winstead of stealing key phrases from his 2008 book 'The Preacher's Son -- But the Streets Turned Me Into a Gangster.'

"With respect to the various specific phrases and lines which Winstead alleged that our client took from the book, we demonstrated that many were misquoted, manipulated or not in the movie at all and that, in any event, they were non-copyrightable short phrases or unpredictable expressions used in the 'street' such as 'get the dope, cut the dope,'" a rep for Fiddy's laywer told Allhiphop.com.

50 CENT CLEARED IN COPYRIGHT CASE

      A New Jersey judge has sided with 50 Cent  and dismissed a lawsuit pertaining to 'Before I Self Destruct,' a feature film pack... [Read More]

KUTANA NA PROFESSIONAL DJS PRO-24 NDANI YA MAFIA LOUNGE MASAKI

                              Tonight is the night,Pro 24 Djs@Mafia fish Lounge Masaki ..Don't miss the different taste of good Music F... [Read More]

BEYONCE AJADILI UJAUZITO WAKE NA WANDISHI WA HABARI WAKATI AKIZINDUA MANUKATO YAKE MAPYA

                        Katika hali ambayo haikutarajiwa Mama Mtarajiwa juzi usiku huko New York,wakati akizindua manukato yake mapya ambay... [Read More]

JIANDAE KUSIKIA NGOMA MPYA YA FA NA LINAH

                  Mwana FA msanii mwenye bahati yakutoka kila siku ngoma kali na zinazopendwa na wananchi baada ya kufanya vizuri kwenye vid... [Read More]

HATIMAE DX WA NOIZMEKAH ADONDOSHA PINI CHANYA MWITE BABA WA UKOO AKIWA NA BANX NA ROMA

Moplus a.k.a. baba wa ukoo amshirikisha Roma mkatoliki na Banx katika pini linalokwenda kwa jina "Ukweli" lilofanywa arachuga ... [Read More]

Mwanamama na mwanamuziki wa muziki wa R&B
Vesta Williams amekutwa amefariki huko Nchini Marekani katika chumba cha hotel HUKO California ,Mpaka mauti yanamkuta alikuwa na umri wa miaka 53..,kifo hicho kimetokea siku ya jana (Sept. 22).
The entertainer, who was widely recognized in the '80s as a lauded songstress, was apparently in good health, according to a recent video interview. "I'm just actually excited about being 53 years old and alive and well and kickin'," Williams shared at the 2:18 mark. "I don't have any problems, nothing, no medical problems, nothing, and I'm too blessed to be stressed." Though reports state she was 48 at the time of her death, her statement claims otherwise.

R&B SINGER VESTA WILLIAMS DEAD AT 53

Mwanamama na mwanamuziki wa muziki wa R&B Vesta Williams amekutwa amefariki huko Nchini Marekani katika chumba cha hotel HUKO Califor... [Read More]

Lil Wayne - Prom Queen

[Read More]

     
The R&B star and his fiancé, Atlanta boutique owner Monyetta Shaw, are set to welcome baby No. 2 next month, a rep has confirmed. The couple's first child, a daughter named Madilyn Grace, arrived last November, prompting her proud papa to gush on Twitter.
"Feels like I'm in luv for the first time," he tweeted. "Welcoming that lil' girl to the world last night defined for me what 'willing to kill and die for' truly means. My world, my life, all hers."

NE-YO TO WELCOME STORK AGAIN, WALK DOWN THE AISLE

      Not content to tackle one major life change, multitasking singer, songwriter and label head  Ne-Yo is getting married and gearing up ... [Read More]

                
Mother-to-be
Beyonce has finally opened up about her upcoming pregnancy, saying she's "proud and excited" about finally giving birth.
The 30-year-old 'Single Ladies' singer, who has been extremely secretive about her marriage to husband Jay-Z, finally discussed her feelings about motherhood, while promoting her fashion line, House of Dereon, in London, with her mother, Tina Knowles.
"I am having so much fun, it has been the most fun time now that it has been announced and I don't have to, you know, it was really difficult to conceal, " Beyonce told CNN . "But now that I can be proud and excited about it, I'm having so much fun shopping -- it's great!

BEYONCE'S MOTHER IS 'OVER THE MOON' ABOUT HER PREGNANCY

                 Mother-to-be Beyonce has finally opened up about her upcoming pregnancy , saying she's "proud and excited" ... [Read More]

Bebe Cool - Sanyu Lyamutima Gwange

[Read More]

Bob Junior a.k.a Sharobaro - Nanini

[Read More]

BRITNEY SPEARS AKANA KUPATA MCHUMBA MPYA

                 Mwanamuziki machachari mwenye vituko kila kukicha Britney Spears amekanusha uvumi ambao umenea kuwa amepata mchumba mpya na... [Read More]

BAADA YA KUCHEZA VYEMA KATIKA FILAMU YA SINGHAM AJAY DEVGN APANDISHA DAU

   Mcheza filamu wa Bollywood Ajay Devgn amepandisha dau la kuigiza baada ya kuwa na mafanikio katika filamu ya kutisha ya Singham Katika... [Read More]

GREGORY FRANK AKANUSHA TUHUMA ZINAZO MKABILI KUWA YEYE ANA TABIA ZA USHOGA

                  Nyota na Muigizaji wa filamu nchini Nigeria Gregory Frank ,ambaye inasadikiwa mpaka sasa ameshaigiza zaidi ya filamu 50,... [Read More]


Wakati akiwa ndio kwanza nyota ikiwaka katika tansia ya filamu nchini Shmsa Ford,ameweka bayana kwa kusema filamu nyingi za kitanzania hazina ubora wa kimataifa..
Akiongea na Pro-24 alisema yeye binafsi kama mdau,na mwigizaji atafurahisana kama wacheza filamu pamoja na waongozaji wajaribu kutengeneza filamu zenye ubora wa hali ya juu ili kuongeza soko la ndani ambalo kwa sasa limeshika kasi ya aina yake,Shamsa aliongeza hata wasanii wenyewe wamekuwa nyuma katika kujifunza vitu vipya kama lugha za kigeni ,kompyuta na masuala mengi kuhusiana na Filamu,”kwa staili hii hatuwezi kupata upeo na kuboresha kazi hakuna miujiza zaidi ya kukubali mabadiliko na kwenda na wakati “alisema na kuwaasa wasanii wezie wakubali mabadiliko na watumie kiasi cha fedha wanazopata ili kujiendeleza kielimu…

SHAMSA FORD AZUNGUMZIA UBORA WA FILAMU

Wakati akiwa ndio kwanza nyota ikiwaka katika tansia ya filamu nchini Shmsa Ford,ameweka bayana kwa kusema filamu nyingi za kitanzania hazi... [Read More]

DULLAYO - MIDA YA KAZI

[Read More]

2pac - Eternal Legend

DOWNLOAD [Read More]

Monica - Anything (To Find You) ft. Rick Ross

[Read More]

 
After leaving an Arkansas federal prison earlier this month, then being detained again,
T.I. has returned to a Georgia halfway house where he will be serving out the rest of his sentence..
The southern spitter was transported out of prison on Thursday (Sept. 15) and will be in custody through Sept. 29. T.I.'s lawyer, Steve Sadow, tells TMZ, "We have good reason to believe that this favorable result was reached because of the proactive and assertive approach taken to protect T.I.'s rights by providing B.O.P. officials and the media with reliable and accurate information and that T.I. did not intend to violate his transfer furlough or any other B.O.P. rules en route from the prison facility in Arkansas to the halfway house in Atlanta."
Hopefully this ends the tedious saga following T.I.'s early prison release only to behauled back to prison for using a tour bus, which was reportedly an incorrect use of transportation. His return to jail just hours after his release was apparently a "personal vendetta," according to his wife Tameka "Tiny" Cottle.

T.I. LEAVES PRISON, AGAIN, DROPS BOOK COVER

  After leaving an Arkansas federal prison earlier this month, then being detained again, T.I. has returned to a Georgia halfway house wher... [Read More]

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging