Google PlusRSS FeedEmail

JE SANDRA BULLOCK NDIYE MWANAMKE MREMBO DUNIANI?

    

Huenda asijihisi kuwa mrembo ,lakini Sandra Bullock ndiye mwanamke mrembo duniani.

Iwapo anaamini hilo au la ,nyota huyo wa filamu mwenye umri wa miaka 50 ametangazwa na gazeti la People magazine kama chaguo lake la kila mwaka la mwanamke mrembo duniani mwaka 2015.

Msanii huyo alidokezewa kuhusu habari hiyo kabla ya tangazo hilo kutolewa na jarida hilo.

Je tunakuuliza unakubaliana na uamuzi wa gazeti hilo kwamba Sandra Bullock ndiye mwanamke mrembo duniani?

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging