Mwanamuziki Usher Raymond amejotokeza kwa mara ya kwanza hadharani baada ya kufanyiwa upasuaji wa mguu
Usher Raymond afanyiwa upasuaji huo wiki moja iliyopita ambapo upasuaji huo uligharimu dola million sita za kimarekani
usher alionekana katika mitaa ya kitongoji cha Bevery Hills mwanzoni mwa wiki hii akiwa mwenye furaha kubwa