Uvutaji wa sigara wa mara kwa mara kwa mwanamama mkali wa filamu Angelina Jolie huenda zikakatisha maisha yake.
Angel anaonekana kufanya kazi ya bure pale alipoamua kufanyiwa upasuaji wa matiti kuepuka ugonjwa wa kansa huku akiwa anaendelea kuvuta sigara. Kifo cha Mama yake mzazi Bibi Marcheline Bertrand kutokana na ugonjwa wa kansa kilimuogopesha sana Angel alieamua kwenda kufanyiwa upasuaji wa matiti kama njia ya kuepuka ugonjwa huo.
Imeripotiwa nyota huyo wa filamu mbalimbali kama Unbroken na Salt huvuta nusu pakiti ya sigara kwa siku na wala hana mpango wa kuacha kuvuta hivi karibuni, hivyo na kujiweka katika hatari zaidi kupata ugonjwa wa kansa kwani uvutaji wa sigara ni moja kati ya chanzo cha ugonjwa huo.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.