Google PlusRSS FeedEmail

BOW WOW AJITOA NDANI YA CASH MONEY

Taarifa zinasema kwamba rapper na mtangazaji aliyekuwa chini ya usimamizi wa Cash money, inayomilikiwa na billionea namba 5 wa hip hop duniani Birdman, Shad “Bow wow” Moss ameondoka na kuachana na lebo hiyo.

Kwa mujibu wa video ya dakika 28 aliyopost kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Bow wow ameelezea kumuheshimu na kumkubali Kinoma Birdman na ametetea uondokaji wake kuwa ni wa amani.

“Napenda nimshukuru sana Birdman na namuheshimu pia, alitumia muda wake kunisain pale Cash money,ninaondoka na ni kwa amani tu wala hakuna ubaya wowote alionitendea na hatujakoseana” alisema Bow Wow.

Well hatua hiyo imekuja wakati ambapo kunamgogoro mwingine uliopo katika lebo hiyo, kati ya boss wa Cash money Birdman na boss wa “YMCMB” lili wyne. Imefahamika Bow wow alieanza ku rap tangu akiwa na umri wa miaka mitano 5 anakwenda kuungana kikazi na mkali Jarmine Dupri na rapper Snoop Doggy.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging