MSANII wa filamu nchini Aunt Ezekiel ajifungua mtoto wa kike siku ya Alhamis na kumpa jina la Cookie, mtoto huyo ambaye baba yake ni mcheza show wa msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Diamond aitwaye Mose Iyobo.
Aunt ameweka wazi juu ya kupata mtoto huyo katika ukurasa wake wa Instagram na kueleza hisia zake mara baada ya kujifungua salamaa.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.