Je kwa wasanii watakaojitoa kwenye Tuzo hizi, ndugu Maregesi amesema wanatakiwa kuliandikia Baraza barua ya kujitoa lakini sambamba na kujitoa wajue kwamba moja kwa moja watakua hawana kibali cha kufanya kazi za muziki Nchini.
MSANII ATAKAYEJITOA KWENYE TUZO SERIKALI KUMFUNGIA KUFANYA MUZIKI NCHINI-BASATA
Je kwa wasanii watakaojitoa kwenye Tuzo hizi, ndugu Maregesi amesema wanatakiwa kuliandikia Baraza barua ya kujitoa lakini sambamba na kujitoa wajue kwamba moja kwa moja watakua hawana kibali cha kufanya kazi za muziki Nchini.