Couples zinazoendelea kuwagumzo ulimwenguni ambao wanamuziki toka Marekani, marapa Meek Mill na Mdada Nicki Minaj wameweka wazi mipango yao kuhusu uhusiano wao na kusema kwamba hawawezi kuoana kwa sasa.
Robert Rahmeek Williams a/k/a Meek Mill amefunguka hayo wakati akipiga stori na gazeti la Fader la huko Marekani.
Meek alisema, “Ni kweli tumevisha pete, na kweli tunapendana lakini bado tunasomana tabia na penzi letu kabla hatuajaoana ili tusije haribu mambo hapo baadae”.
Meek Mill na Nicki Minaj walianza uhusiano wao mwaka jana ambapo uhusiano wao huo ulizua gumzo kubwa kwamba huwenda wawili hao wasidumu kutokana tabia zao.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.