Habari iliyotumwa kupitia kwa mtandao wa Twitter kutoka kwa ikulu ya Kensington ilisema kuwa mtoto huyo alizaliwa akiwa salama kalba ya saa mbili unusu saa za uingereza.
Mtoto huyo aliye na uzito wa kilo tatu nukta saba alizaliwa muda mfupi baada ya kuwasili kwenye hospitali moja mjini London.