Google PlusRSS FeedEmail

AVULIWA TAJI LA UREMBO KWA KOSA LA KUSAMBAZA PICHA ZA UCHI

 Kwa mara ya pili mfululizo waandalizi wa shindano la malkia wa urembo nchini Zimbabwe wametupilia mbali ushindi wa taji hilo uliomwendea malkia wa urembo kufuatia sakata ya picha za uchi.

Emily Kachote alikuwa ameshinda taji la malkia wa urembo nchini Zimbabwe mnamo mwezi Aprili na alitarajiwa kuwakilisha taifa hilo katika mashindano ya dunia ya malkia wa urembo nchini Uchina mnamo mwezi disemba.

Lakini waandalizi wa taji hilo wanasema kuwa bi kachote alikiuka sheria ya shindano hilo ambalo linapinga wanaoshindana kupiga picha za uchi .

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging