Baada ya maneno kadhaa kuenea kitaani kwamba, mke wa producer na rapper mwenye vituko Kanye West kuwa ni mjamzito, hatimae Kim Kardashian auanika ukweli.
Kim alifunguka kupitia promo (tangazo) la kipindi chake cha Keeping up with Kardashian, kuwa hakuwa sawa kiafya na alipokwenda kupima damu daktari alimjuza kwamba ni mjamzito.
“I just got the blood test back, and I am pregnant!” Kim alimwambia Khole.
Miezi ya hivi karibuni familia hiyo inayoongozwa na Doctor Kanye, imekuwa katika hedlines kadhaa huku kubwa likiwa lile la ndoa yao kufungwa mara ya pili.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.