Moja kati ya wanamuziki wa hip hop wa kutumainiwa Kenya ni Rabbit a.k.a Kaka Sungura, albam yake “the legend of kaka” ndio albam iliyouza nakala nyingi zaidi nchini humo kuliko albam ya msanii yeyote Yule.
Rabbit anatarajia kuachia “mkwaju mpya” aliyomshirikisha mwanamziki wa Zambia Roberto.
Katika kuonyesha kutumia fursa aliyoipata kupitia “Coke studio”, rapper huyo anatarajia kufanya colabo na mkali wa RNB kutoka Nigeria 2face Idibia.
Kupitia ukurasa wake wa IG, kaka Sungura ameweka picha yake akiwa na mkali huyo na kuipa “caption” iliyoashiria kuna mkwaju utakaoionganisha Kenya na Nigeria.
“Ni kuvuka boda” ameandika rapper huyo.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.