Baada ya BET kuwatangaza chriss brown na kendric lamar kuwa watawasha kideo kwenye stage ya BET awards, leo BET wamewatangaza wakali wengine ambao watasanukia “stage” this year.
Mtukutu wa Fhiladefia Meek Mill na RNB star Neyo, wametangazwa na BET kuwa watapaform siku ya tuzo za BET music awards.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.