Upepo mbaya unazidi kuwakumba marapa wa nchi ya Marekani kwani kwa wiki tatu mfululuzo kutokana na kukamatwa kwa baadhi ya marapa wenzao na kushia rumande kutokana na kesi mbalimbali zinazo wakabili.
June 26 Rapa DMX alitupwa selo baada ya kushindwa kutoa fedha za kujikwimu kwa mmoja kati ya watoto wake, huku rapa Rick Ross akilazimika kulipa fidia kiasi cha dola milioni 2 ili asikumbane na rungu la kutupwa jela baada ya kufanya tukio la uhalifu la utekaji nyara.
Sasa habari tulizozipata kutoka mtanzao wa revolt.tv umeandika Rapa Kidd Kidd kutoka kundi la G-Unit amekamatwa usiku wa june 30 kutokana na makosa kadhaa yanayomkabili likiwemo la kumjeruhi mwanamke kwenye ugomvi wa kifamilia.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.