Record Industry Association of America (RIAA), wamemtaja mkali wa muziki duniani anayetokea Barbados, Robin Fent “Rihanna” kama ndiye mwanamuziki anayeuza zaidi mtandaoni wa muda wote (all time).
Rihanna ametajwa kufanya vizuri zaidi kupitia mitandao kama Itunes, ambao ulianzishwa mwaka 2003 na kwa mujibu wa utafiti huo Rihanna anaongoza kwa kuuza nyimbo zake zaidi kuliko msanii mwingine yeyote Yule.
Taarifa zinasanua kuwa mpaka sasa Rih Rih, ameuza “mikwaju” mara milioni 100 na upande wa Album ni milioni 7.5.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.