Mwanahiphop mwenye heshima kubwa nchini Marekani Common amefunguka kwamba haoni wivu wowote kuhusu taarifa zilizozagaa aliyekuwa mpenzi wake wa zaman Serena Williams kudate na rapa Drake.
Common amemwambia ripota was tori pendwa mtandao wa TMZ ‘Mapenzi yetu na Serna yalishaisha zamani, na sasa hivi amekuwa rafiki yangu. Nafurahi kuona akiwa na furaha na kama uhusiano wake na Drake anajisikia furaha basin i vizuri”.
Drake na Serena Williams wameripotiwa kuwa sehemu mbalimbali za starehe kitendo kinachoamshahisia kwa mashabiki kwamba wawili hao huenda ikawa wanadate.
Mpaka sasa si Drake wala Serena aliyeongelea ukaribu wao huo uliozuka hivi karibuni ni wa aina gani.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.