Kwa mijibu wa Mtandao ujulikanao kama New Idea umeripoti kuwa Mwanamuziki Mariah Carey na mpenzi wake wa sasa ambaye ni Tajiri James Packer wanategemea kupata mtoto tangu walipokuwa pamoja..Mariah Carey ambaye tayari ana mapacha ambao alizaa na Nick Cannon Mariah Carey bado yuko kwenye ndoa na Nick Cannon baada ya kutengana bila talaka mwaka 2014.
JAMES PACKER & MARIAH CAREY WATARAJIA MTOTO
Kwa mijibu wa Mtandao ujulikanao kama New Idea umeripoti kuwa Mwanamuziki Mariah Carey na mpenzi wake wa sasa ambaye ni Tajiri James Packer wanategemea kupata mtoto tangu walipokuwa pamoja..Mariah Carey ambaye tayari ana mapacha ambao alizaa na Nick Cannon Mariah Carey bado yuko kwenye ndoa na Nick Cannon baada ya kutengana bila talaka mwaka 2014.