Ni miaka 4 sasa 4toka msanii wa muziki wa Pop Adele aachie album . Baada ya album yake ya mwisho ’21’ ya mwaka 2011 Adele alitangaza kuwa hatotoa album yoyote mpaka mwaka 2015.
Mwaka 2012 kwenye tuzo za 54th GRAMMY Awards, Adele aliondoka na tuzo 6 za GRAMMY akiwa msanii wa kike aliongoza kwa tuzo nyingi zaidi mwaka huo.
Mwaka 2012 kwenye tuzo za 54th GRAMMY Awards, Adele aliondoka na tuzo 6 za GRAMMY akiwa msanii wa kike aliongoza kwa tuzo nyingi zaidi mwaka huo.