Baada ya kurushiana maneno ‘machafu’ Instagram kati ya rapper 50 Cent na French Montana, 50 ameonekana kuhitaji zaidi Drama hiyo kuendelea.
French alianzisha mzozo kati ya Diddy na Cents, akihusishwa vinywaji vyao vinavyofanya poa sokoni vya Effen Vodka na Ciroc.
Sasa 50 Cents ameibuka leo na kudai kinywaji cha Diddy Ciroc, si kizuri kwa kuwa kina madhara kiafya. 50 amesema Ciroc ina zaidi ya ‘Calories’ 1700 haina ‘kilevi’ chenye kiwango na hakina ladha.
Tofauti ni kwamba katika bifu hii Diddy, hajajibu hata neno.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.