Nyota wa muziki Nchini Ben Paul '' Benard Paul ''amewataka wasanii wenzake kuacha ushabiki wa kisiasa,kama hawana uelewa wa maswala ya kisiasa,kwani siasa inaweza kufanya watu kugawanyika kutokana na umaarufu na upenzi wa wapenzi wa kazi zao..
Akiongea na Pro 24 amesema anashangazwa na baadhi ya wasanii kuandika ujumbe wa kisiasa katika kurasa zao katika mitandao ya kijamii..
Alisikika akisema '' wasanii wengi hawajui maswala ya siasa anasikitishwa na wasanii wenzake kuandika ujumbe kwenye kurasa zao za mitandao bila kuwa na uhakika wa wanachikiandika