Mkongwe wa Bongo flava Inspector ‘Babu’ Haroun, ameelezea lengo la kusafiri kuelekea South Africa (Africa Kusini) alikokaa kwa majuma mawili.
Akifunguka kupitia Times FM, Babu amedai alikwenda kufanya ziara ya kimuziki iliyompelekea kurekodi ngoma 3.
“Nilikwenda tu kama ziara ya kawaida ya kimuziki, sasa kufika kule nikakutana na producer raia wa kule akanipeleka kwenye studio anayofanyia kazi inayomilikiwa na Mbongo.
kufika pale kwa kuwa wananikubali wakanipa ofa ya kurekodi nyimbo 3.”
Katika ‘Line’ nyingine, Inspector amaedai yuko mbioni kuzifanyia video ngoma hizo.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.