Mpaka sasa familia ya rapper Sean ‘Jay z’ Carter imetumia zaidi ya miezi nane tu, kuishi katika nyumba yao iliyopo Hills Los Angels, sasa familia hii inatakiwa kubeba tena mabegi yao kuhama.
Kwa mujibu wa TMZ nyumba hiyo waliokuwa wamepanga imeuzwa, na wamepewa siku 60 tu kuihama. Hakuna cha kuhofu kwa sababu tayari Baba Blu Ivy, ametafuta madalali ili kusaka maskani yao nyingine
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.