Taarifa zinasema kwamba mwigizaji huyo Danny Glover tayari yuko Nigeria tangu September 08 2015 kwa ajili ya maandalizi ya filamu yake hiyo...Filamu hiyo ambayo itakuwa inahusu tatizo la ugonjwa wa Ebola, Filamu hiyo inajulikana kama ’93 Days’ ambayo ndani yake kutakuwa na story inayowahusu watu waliojitolea kupambana na Ebola.
UGONJWA WA EBOLA WA MGUSA DANNY GLOVER
Taarifa zinasema kwamba mwigizaji huyo Danny Glover tayari yuko Nigeria tangu September 08 2015 kwa ajili ya maandalizi ya filamu yake hiyo...Filamu hiyo ambayo itakuwa inahusu tatizo la ugonjwa wa Ebola, Filamu hiyo inajulikana kama ’93 Days’ ambayo ndani yake kutakuwa na story inayowahusu watu waliojitolea kupambana na Ebola.