Mwigizaji Yvonnne Nelson amekiri kwamba hivi sasa ana wakati mgumu kuangalia mwenendo wake kufuatia kuwepo kwa kundi la Boko Haram
Yvonnne Nelson amesema hayo hayo jana wakati wakizungumza na kituo cha radio ya taifa mjini Lagos.
alisikika akisema amekuwa akihofia maisha yake
alisema vitendo vibaya ambavyo vinafanywa na kundi hilo vimemfanya abadili programu zake za kazi ili kujilinda ''ukweli hawa Boko Haram ni watu wabaya sana tena inabidi wafanyiwe kazi ili kutokomeza kabisa kundi hilo..
Ameongeza kuwa anakusudia kutenegeneza filamu ambayo itaweza kupeleka ujumbe kwa watu kuhusu ubaya wa kundi hilo.