Google PlusRSS FeedEmail

JANETH JACKSON & WISSAM AL MANA WAIBUKA KWENYE ONYESHO LA MAVAZI HUKO PARIS

                          
Nyota ya muziki wa pop kutoka Nchini Marekani Janeth Jackson ,juzi aliibukia katika onyesho la mitindo huko Jijini Paris ..onyesho linalojulikana kama Paris week.

Onesho hilo ambalo linafanyika kila mwaka,linahusisha wanamitindo mbali mbali kutoka kona zote za Dunia.

Janeth 49 alionekana aliwa na mume wake Wissam Al Mana 40 kwa pamoja walionekana wakiwa wamevalia mavazi yenye rangi nyeusi.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging