Google PlusRSS FeedEmail

MWANAMUZIKI NNEKA WA NIGIRIA A[IGANIA USAWA WA KIJINSIA KUPITIA MUZIKI


Katika mfululizo wa Makala za Benki ya Dunia kuhusu muziki kwa ajili ya maendeleo, tunakutana na nyota wa Nigeria, Nneka, ambaye ana uraia wa Nigeria na Ujerumani. Nneka, kama wanamuziki wenzake kutoka barani Afrika, wamejiunga katika mchakato wa Benki ya Dunia wa kutumia muziki kuchagiza mabadiliko na kuleta maendeleo.Katika Makala hii, Joshua Mmali anatumegea kidogo kuhusu ushiriki wa Nneka katika mchakato huu

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging