Google PlusRSS FeedEmail

NICK CANNON ANYAKUA KITU KIPYA

    
Muigizaji Nick Cannon amesema kwa sasa ana furaha baada ya kumpata mpenzi mpya anayejulikana kama Samatha Johnson

Cannon alisema hayo wakati akizungumza na gazeti moja nchini marekani..alisikika akisema ''nina furaha sana ,nina amani ya moyo sasa mara baada ya kuachana na mke wake Mariah Carey.

Alisema furaha hiyo imerejea baada ya kuanza uhusiano wa kimapenzi na mwanamitindo huyo hivi karibuni

''ukweli sasa kichwa changu kimetulia ,nilikuwa kwenye kipindi kigumu baada ya kuachana na mama watoto wangu''alisema

Cannon alisema Samatha ni mrembo ambaye ana mvuto kama alivyokuwa kwa Mariah na sasa ana maisha yenye furaha.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging