Google PlusRSS FeedEmail

PATORANKING AZIDI KUTESEKA NA KASHFA YA MTOTO WA NJE

     

Papa Patrick Okorie Patoranking amekaririwa akisema anakerwa na kashfa  zinaonekana kwenye mitandao kwamba alikuwa mtoto na wa nje kabla ya kuoa

Katika mahojiano yake na mtandao wa  Stargistic.com, Patoranking anayetamba na wimbo wake wa Alubarika alisema amekuwa na wakati mgumu ndani ya familia yake ,kwa sababu ya uvumi huo

Najua chanzo ni picha ya mtoto mchanga niliyoiweka kwenye ukurasa wangu wa Instagram ,lakini ukweli ni kwamba yule si  mtoto wangu kama inavyodhaniwa ''alisema rapa huyo.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging