Google PlusRSS FeedEmail

SERENA GOMEZ ACHENGUA JIJINI LONDON


Mwanamitindo na mtangazaji wa vipindi vya Television Selena Gomez,mapema wiki hii aliwashangaza watu wengi mara baada ya kutokea katika moja ya tamasha la mavazi lilifanyika jijini London
Gomez ambaye alionekana kuchangamka siku hiyo alishuka katika gari lake huku akiwa amevalia gauni refu jeusi liloacha wazi sehemu ya juu ya kifua chake.

Mrembo huyo ambaye alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamuziki Justine Beiber alizidi kuonekana mrembo mara baada ya kuanza kutembea kwa mikogo kuingia ndani ya ukumbumbi wa tukio

Aidha gauni hilo ambalo lilikuwa mpasuo mkubwa sehemu kubwa ya miguu yak ilikuwa wazi

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging