Google PlusRSS FeedEmail

UJIO MPYA WA DJ KHALEED



Baada ya kufanya ‘poa’ na mikwaju Mingi, hatimae rapper na DJ mwenye mafanikio duniani DJ Khaleed ametangaza ujio wa album yake aliyoiita ‘I changed a lot’.

Mkali huyo ametusanua leo asubuhi kuwa album hiyo ataidondosha ‘Kitaani’ October 23.

Ngoma yake ‘You mine’ tunauhakika kwa asilimia 100 itakuwepo ndani ya this album, na wameshirikishwa wakali kadhaa Trey Songz, Future, Jeremih “Gold Slugs” , Chris Brown, August Alsina na Fetty Wap.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging