Katika kuboresha burudani na michecho nchini Tanzania, Chama cha Ngumi kimeanzisha tuzo za kutambua mchango wa waandishi wa habari kwa kusaidia kuinua michezo hiyo nchini.
Mtangazaji wa kituo cha radio One nchini Omary Katanga anaomba wadau pamoja na mashabiki kumpigia kura kwa wingi ili aweze kunyakua tuzo za mtangazaji bora wa habari zinazohusu Masumbi nchini.
Ili kumuwezesha kushinda kinya'nganyiro hicho tuma ujumbe wa msg kwenda namba 15573 ukiandika ngumi 45 ambapo unaweza kupiga kadri uwezavyo.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.