Google PlusRSS FeedEmail

PRO-24 DJS + DJ PETER MOE NDANI YA ZHONG HUA GARDERN..UKIWAONA UTAJIBEBA

Djs ambao kwa sasa ni gumzo kila kona ndani na nje ya Tanzania,Pro-24 djs, kwa sasa watakuwa wakitoa bonge la burudani kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi ndani ya ZHONG HUA GARDERN,wakishirikiana na Dj Peter Moe.

Djs hao kwa sasa wamekuwa gumzo ndani na nje ya nchi kutoka na style ya upigaji, na hasa wakiwa wanatumia style ya tofauti katika upigaji wa disco,
Wakati wakiwa  katika 1 na 2 hutoweza kuvumilia  kukaa maana kazi yao kukufanya ucheze mda wote

Kwa sasa wamejikita katika sehemu tofauti  tofauti ndani na nje ya mipaka yetu,ila kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi huwa wanaunganika na dj  Peter More
                   

Ili kukupa raha zaidi wewe mpenzi wa burudani Pro-24Djz wakishirikiana na Dj Peter More  watakuwa kila Jumamosi ya mwisho wa Mwezi ndani ya ZHONG HUA GARDERN  wakikuletea usiku wa  GROOVE BACK,MWANZO MWISHO

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging