Google PlusRSS FeedEmail

Usiku wa East Africa Rise Up,Ulifana sana

Tamasha kubwa la East Africa Rise Up ambalo lililoandaliwa  na wasanii kutoka wa kundi la Watengwa limefanyika jana   Tarehe 4th September Mjini Arusha. Tamasha hilo liliwashilikisha wasanii mbali mbali kutoka Kenya na Ufaransa, wasanii wa ngoma za asili, Hip Hop na Fashion show .


MwanaHiphop JCB makalla anayefanya vyema na pini lake 'Ukisikia Paaa' amesema pia katika tamasha kufanyika kwa tamasha hilo ni mafanikio malubwa  kukuwa na maonyesho ya wasanii kuonesha bidhaa zao kama T-shirt, Cds na vitu mbali mbali ambavyo wanakuwa wanabuni.

Na katika upande wa burudani, Kundi la Watengwa kutoka arusha, Tgp kutoka Arusha na Mau Mau kutoka Kenya walitoa burudani burudani ya live Band...

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging