Curtis James Jackson III aka 50 Cent amesema kuwa wakati yuko kwenye tour ya Europe alizimia sana dance music alipozisikia wakati yuko kwenye clubs za huko na huenda aka-record au kukawa na uptempo songs.
Kupitia katika ukurasa wake katika mtandao wa kijamii Twitter 50 Cent aliweka picha ya albamu yake hiyo akiwa na lengo akitangaza kuwa wamashapiga mzigo kwa ajili ya album yake mpya ya 5 itakayoitwa Black Magic itakayotoka baadaye mwaka huu na itakua na vichwa kama Eminem,Lil’ Kim,Busta Rhymes,Akon,Swizz beatz na wana wengine kibao.
Kupitia katika ukurasa wake katika mtandao wa kijamii Twitter 50 Cent aliweka picha ya albamu yake hiyo akiwa na lengo akitangaza kuwa wamashapiga mzigo kwa ajili ya album yake mpya ya 5 itakayoitwa Black Magic itakayotoka baadaye mwaka huu na itakua na vichwa kama Eminem,Lil’ Kim,Busta Rhymes,Akon,Swizz beatz na wana wengine kibao.







