Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz anazidi kujizolea umaarufu kwa kupata shoo nyingi zikiwemo ndani na nje ya nchi wakati hivi sasa yuko nchini England akifanya shows katika ziara yake ambapo mwisho wa wiki hii amehakikisha mashabiki wake wa mjini London kuwapagawisha na shoo moja kali ambapo msanii hnuyo alionyesha uwezo wa hali ya juu kwa kufanya shoo ya nguvu
Picha kwa msaada wa mtandao
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.