Google PlusRSS FeedEmail

KALA KUIPELEKA PASAKA MWANZA


Msanii wa nyimbo za Hip Hop Kala Jeremiah anatarajia kuzindua albamu yake inayojulikana kwa jina la 'Pasaka' ijumaa jijini Mwanza, baada ya kufanya uzinduzi huo jijini Dar es Salaam na kuonekana kupokelewa vyema na mashabiki wake

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging