Google PlusRSS FeedEmail

AMANDA- MIMI SIYO CHIZI



Muimbaji Amanda Bynes amesema kuwa hana matatizo ya akili zaidi ya kufanya kile ambacho anaamini mashabiki wake wanapenda kukiona na kusikia

Alisema hayo baada ya watu wengi kusema kuwa ana matatizo ya akili na ni mlevi kupitiliza alisema hanywi pombe kwa kuwa pombe hiyo inamdhuru na anachokifanya ni kufurahisha mashabiki wake

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging