Mkali wa shoo za kwenye televisheni Kim Kardashian na mpenzi wake Kanye West wameripotiwa kufunga ndoa yao mara baada ya kupata mtoto wao mwezi Juni mwaka huu
Kwa mujibu wa chanzo kimoja cha habari kimeripoti kuwa wawili hao wanampango wa kufunga ndoa ya kifahari jijini Los Angeles