MILA KUNIS AMDONGOSHA RIHANNA KWA MVUTO
Muigizaji mwenye hasili ya Ukraine Mila Kunis ametajwa kuwa msichana mwenye mvuto zaidi duniani kwa mwaka 2013
Kwa mujibu wa jarida maarufu nchini Marekani (FHM) mwanadada huyo amefanikiwa kumfunika mwanamuziki mwenye vituko Rihanna ambaye amekamata nafasi ya pili
Jarida hilo mwaka jana lilitoa takwimu kuwa Rihanna kushika nafasi ya tatu ambapo mwaka huu amesogea juu kwa kushika nafasi hiyo ya pili