Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Sar Kaisi 'Shaa' anatarajia kuachia wimbo wake mpya alioupa jina la 'Sugua Gaga hivi karibuni. Akizungumza jijini Dar es Salaam alisema yupo katika maandalizi ya mwisho wa wimbo huo na kuwataka mashabiki wajiandae kusikia kazi nzuri zaidi kutoka kwake.
Alisema amekuwa akijituma kufanya kazi nzuri kila wakati kwa lengo la kuhakikisha anafanya vyema katika muziki huo na kupata soko zaidi.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.