Wasanii kutoka pande za Kenya,P-Unit ambao tayari wameshadondosha video mpya inayoitwa "Kari" wanategemea kuachia album yao ya kwanza. . Jamaa walifanya vizuri na na pini "si lazima" walioshirikiana na mtu mzima Nonini,na ku launch tour yao nchi nzima jumamosi hii ndani ya viwanja vya canivore kiingilio kikiwa ni shilingi 500 ya kenya ikiwa ni pamoja na free copy ya cd yao mpya inayoitwa "Wagenge hao"
Kundi hilo lenye watu watatu Frasha, Gabu na Bon Eye watasindikizwa na Godfather wa Genge, Nonini, and Nimmo
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








