Mkali wa miondoko ya TAKEU Bongo, Hamisi Baba a.k.a H- Baba, ameibuka na kutambulisha staili mpya ya muziki, ambayo amesema anaamini itafunika ile mbaya na kumfanya aendelee kuwa kileleni.
H Baba, alitambulisha style hiyo last week kwenye vituo mbali mbali vya Tv ambapo aliitaja kuwa style yake mpya inakwenda kwa jina la Poteza Dansi Bongo Fleva.
“Hapa watu watanikoma, maana haiigiki mzazi...ni mauno mwanzo mwisho, nani ataweza? Watu wasubiri kidogo waone ujio wangu mpya,” alisema H Baba.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








