ONE 8 YAMPELEKA ALLY KIBA CHIKAGO MAREKANI- KWA AJILI YA COLLABO YA PAMOJA.
Posted on by Unknown
Mwanamuziki kutoka home Tanzania Ally kiba anatarajia kwenda nchini marekani na kuungani na wasanii wengine kutoka Africa kwa ajili ya tamasha maalumu ambalo watafanya wimbo mmoja na msanii kutoka nchini marekani.na wimbo huo baadae utafanyiwa video ya pamoja..One 8 itanganisha wasanii wengi kutoka Africa na hii itasaidia sana kukuza kazi za wasanii wetu kutoka Africa Baadhi ya wasanii watakao kuwepo ni kama 2Face: Nigeria , JK: Zambia , Navio: Uganda , Amani: Kenya , Alikiba: Tanzania , 4×4: Ghana , Fally Ipupa: DRC ,na Movaizhaleine: Gabon..