Google PlusRSS FeedEmail

50 CENTS AUSISHWA NA DINI YA KISHETANI

Cutris James Jackson III aka 50 Cent msanii mkali toka kwa Marekani,amezua utata baada ya kuonekana ametupia kapelo yenye nembo inayofanana na dini ambayo inahusishwa na imani ya kishetani duniani,Fremasons.

Nembo ya freemasons ni pembetatu na jicho moja na, 50 Cent inasemekana alikua mstari wa mbele kuipinga dini hiyo hivi karibuni

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging