Google PlusRSS FeedEmail

PRO 24 DJS NDANI YA USIKU WA 103 DEGREES KILA IJUMAA

Mavijanaaa wanaowakilisha vyema katika burudani ya muziki hapa nchini Pro-24 djs kuanzia Ijumaa hii na kuendelea watakuwa wakiwakilisha,vyema katika usiku wa 103 Degrees ndani ya Maisha Club.. Hakuna asiyejua kazi ya Pro-24 djs Hapa nchini ni mavijanaaa walio na uwezo wa kimataifa katika swala zima la upigaji disco hapa nchini....Pro-24djs ina ongozwa vyema na Dj Joe,Dj Chill,Dj Tass,Dj Kevy,Dj Arnold,Dj Mass,Dj John,Dj Victor,na Dj Tix..hiyo ni timu ya uhakika kwa ajili ya kukupa wewe raha popote wao wanapokuwa..Karibu sana kwenye usiku wa 103 degrees na pro-24djs ndani ya maisha club Ijumaa Hii na Ijumaa zote zijazo..pro-24djs Raaaaaaaaaaaha Mguso,Mwanzo Mwisho...



This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging