Google PlusRSS FeedEmail

MCHEZA FILAMU NA MCHEKESHAJI SAM LOCO AMEFARIKI DUNIA , AKIWA NA UMRI WA MIAKA 66

                      
Veteran Nollywood actor, Sam Loco Efe,Amefariki dunia,Mauti yamemkuta msanii huyo mkongwe saa 7 mchana leo August 9 akiwa katika chumba cha hotel moja ambayo yeye ndie alikuwa mmiliki, huko  Owerri, Imo State, Southeast Nigeria, ambako alikuwa katika shughuli zake za kutengeneza filamu...
Rais wa wacheza filamu wa Nchini humo amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kudai kwamba msanii huyo mpaka mauti yanamkuta alikuwa na umri wa miaka 66... 

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging