Google PlusRSS FeedEmail

BEYONCE KUANZISHA LEBO YAKE ILI KUSAIDIA MAUZO YA MANUKATO YAKE MAPYA

              
Katika mahojiano ya hivi karibuni na shirika la habari la Associated Press Mwanamuziki  Amabaye pia ni mama mtarajiwa,anatarajiwa kuanzisha Lebo yake binafsi ya kurekodi Muziki \
"natajia kuanzisha kampuni  (lebo) yangu binafsi ya kurekodi muziki.nataka kuanzisha bendi ya wanaume watupu  ili kusaidia katika harakati zangu za kupromoti manukato yangu mapya ambayo yanajulikana kama Pulse..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging