
Mara baada ya mapumziko marefu takribati wiki tatu hatimaye wale majijanaaa kupitia kampuni yao ya Pro-24 imeanza tena ratiba zake za kukupa raha wewe mdau wa Burudani,na hii ni ratiba fupi ya Pro-24 kila Jumatano ya wiki vijana wa pro-24 wanakualika ndani ya masai club kinondoni,uje ujionee mwenyewe vijana wanavyoweza kukupa raha kupitia muziki,Ijumaa ijayo mbalamwezi kama kawa ila kwa wewe ambaye uko Mkoani Iringa ungana na Pro-24 ndani ya Vip club..
Picha zifutazo ni za siku ya jana katika Tamasha la Step up Pleyer lililkofanyika mbalamwezi beach club...
Mdau akiwa King kiff na Dj Tass na Challe Pro-24




Mdau akionyesha Rasta zake
Sound Man wa Pro-24 Polo akiwa anaweka mambo sawa ili kupisha kazi ianzee
Endelea kufuatilia matukio gwede gwede yatakujia hivi punde hapa hapa www.Pro-24.net....

Mdau akionyesha Rasta zake
Hapa anaonekana Dj Zero na Mc wa Step Up Pleyer Babuu wakiweka Ratiba sawaa
Godzila na Dj Choka Wakiwa na wadau wa Beki 3 wakishow love na Camera ya Pro-24
Mavijanaa wakijiandaa kupanda kwenye Jukwaa
Kazi ilianza hiviiiiEndelea kufuatilia matukio gwede gwede yatakujia hivi punde hapa hapa www.Pro-24.net....







