Google PlusRSS FeedEmail

WASANII WA BONGO FLEVER WAKIONGOZWA NA MWANA FA KUCHANGIA WAATHIRIKA WA AJALI YA MELI SPICE ISLANDERS


           
Anasema ingawa wasanii wachache wamekuwa wakiingia studio, lakini kama kundi bado kwakuwa hawajakutana kwaajili ya mchakato wa kujua wafanye nini katika suala hilo. hata hivyo amesema anakaribisha maombi kwa chama hicho, kwaajili ya shughuli yoyote ili kuonyesha wasanii wapo pamoja nao.
 Nyota wa muziki wa kizazi kipya Mwana Fa, amesema kwakuwa ni mwenyekiti wa chama cha Wasanii Tanzania basi anatoa nafasi kwa mwaliko wowote kwaajili ya shughuli za kujitolea kuchangia na kusaidia waathirika wa ajali ya Meli ya  Spice Islanders.


KWA HISANI YA BONGO 5

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging